- 220 views
Shule za Upili nchini zimetakiwa kuhakikisha zinaweka wasimamizi wa bodi za shule hizo wanachama wanaotoka maeneo yaliyo karibu ili kupunguza gharama za usafiri . Akizungumza katika hafla ya siku ya elimu katika shule ya msingi ya chepsaita, kaunti ndogo ya Turbo huko Uasin Gishu, msaidizi wa rais Farouk Kibet anasema shule zinatumia pesa nyingi kuwalipa wasimamizi wa bodi za shule kwa gharama ya usafiri na marupurupu ya vikao, fedha ambazo zingesaidia kuimarisha miundo msingi shuleni. waziri wa elimu ezekiel machogu ameeleza kuwa serikali inaendelea kuongeza muindomsingi shuleni na kuajiri walimu zaidi ili kuinua viwango vya elimu kote nchini.
Shule za upili zatakiwa kuwateuwa wanachama wa bodi walio karibu na shule
- - KTN Newswrap ››
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 5 Jul 2025 - Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
- 5 Jul 2025 - A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
- 5 Jul 2025 - Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
- 5 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has faulted the trend of tribal and divisive politics, cautioning that such narratives risk plunging the country into dangerous polarization.
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - The youth leader was rearrested a few minutes after being released on cash bail.
- 5 Jul 2025 - The ex-DP, while speaking at a funeral, claimed his Kikuyu community was being targeted.
- 5 Jul 2025 - Duale urged counties and health workers to help enforce the policy.