- 7 views
Ulimwengu unaposherehekea siku ya uhandisi duniani, wanawake wahandisi humu nchini wamechukua hatua ya kuwanasihi wanafunzi wa shule za sekondari msingi kwa kuwapa maarifa kuhusu taaluma ya uhandisi. Akiongea wakati wa mpango wa unasihi katika shule ya msingi ya Utumishi Sacco eneo la Kitengela, afisa mkuu mtendaji wa taasisi ya wahandisi, mhandisi Moreen Auka alikariri umuhimu wa mpango huo akisema unanuiwa kuwamotisha wasichana kusomea kozi za kisayansi na pia kuwa katika nafasi nzuri ya kuchagua taaluma. Mpango huo wa unasihi unaotekelezwa na wanawake wahandisi unadhamiriwa kuziba pengo lililopo katika sekta ya uhandisi ambapo idadi ya wanawake ni ndogo mno.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Siku ya uhandisi duniani : Wahandisi wa kike wawanasihi wanafunzi
- - Outro ››
- 23 Aug 2025 - A team led by Education Cabinet Secretary Julius Ogamba and Kisii Governor Simba Arati has begun tours across Gusii to provide updates on stalled government projects, including the revival of the decommissioned Suneka airstrip.
- 23 Aug 2025 - Police in Vihiga have launched investigations after an officer allegedly shot and killed his colleague while on duty at the government fertiliser depot in Esirabe, Luanda.
- 23 Aug 2025 - Police in Vihiga have launched investigations after an officer allegedly shot and killed his colleague while on duty at the government fertiliser depot in Esirabe, Luanda.
- 23 Aug 2025 - A family in Garissa is demanding justice and the release of their kin, who was allegedly abducted by suspected National Police Reservists in Hagadera, Fafi Sub-County, over a year ago.
- 23 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has ordered a crackdown on miraa vehicles along the Mwea–Embu highway in Kirinyaga County.
- 23 Aug 2025 - Chief Justice Koome, who also attended the same event, responded to Wetangula's allegations.
- 23 Aug 2025 - Kenyans will have a chance to witness Kenny G perform at KICC in Nairobi on September 27, 2025.
- 23 Aug 2025 - In Singapore, chewing gum is banned, while in North Korea, you can't wear blue jeans.
- 23 Aug 2025 - The National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) early Saturday morning raided a major illicit alcohol den in Soweto village, Kahawa West, Nairobi, destroying more than 10,000 litres of toxic Kangara.
- 23 Aug 2025 - Nyong’o, who has previously backtracked on some sugar sector reforms, criticized the approval as insensitive and unconstitutional.