- 118 views
Unyanyapaa dhidi ya wajane ni mojawapo za changamoto zinazosababisha wengi wao kuishi katika mazingira magumu yanayosababisha umasikini kukithiri miongoni mwao. Mashirika tofauti katika kaunti ya TaitaTaveta sasa yanatafuta mbinu za kuwainua wajane siku hii ambapo wajane wanatambuliwa ulimwenguni.Kulingana na sensa ya mwaka 2019, kuna wajane zaidi ya wajane milioni moja nchini, eneo la pwani likiwa na wajane elfu 88,833 huku 75,000 kati yao wakiishi katika hali ya uchochole. Keith simiyu anaungana nasi mubashara kutoka voi kwenye maadhimisho ya siku ya wajane.
Siku ya wajane yaadhimishwa eneo la Tana River
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - 2025 08 09 21 18 16 ››
- 10 Aug 2025 - India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
- 10 Aug 2025 - Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
- 10 Aug 2025 - The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
- 10 Aug 2025 - NPS condemns mob justice, urges respect for human dignity and law
- 10 Aug 2025 - Three teens challenge blanket ban on sex between adolescents
- 10 Aug 2025 - DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
- 10 Aug 2025 - Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
- 10 Aug 2025 - 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
- 10 Aug 2025 - How Ruto's goofs created a US-China dilemma
- 10 Aug 2025 - Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi