Simba wa teranga waanza uwakilishi wa Afrika bila Sadio Mane
Timu ya taifa ya Senegal maarufu kama Simba wa Teranga wanaanza kampeni yao kuwania ubingwa wa kombe la dunia huko Qatar kwa kupambana na uholanzi huku wakimkosa mcheza kandanda bora wa kiafrika mwaka 2022, Sadio Mane ambaye ni mmoja wa washambuliaji hatari sana duniani katika timu ya Bayern Munich. Mchango wake ulikuwa muhimu sana kwa mafanikio ya timu ya taifa ya Senegal mwaka huu, ushahidi uliobainika katika mchezo wa fainali ambapo uliipatia ushindi katika mikwaju ya penati na kuishinda Misri mwezi Februari katika fainali za kombe la mataifa ya Afrika. Jinamizi la mashabiki wa Senegal lilijitokeza Alhamisi wiki iliyopita wakati timu ilipotangaza kuwa mchezaji Sadio mane atakosa mechi za Kombe la Dunia akihitaji kufanyiwa operesheni kutokana na majeraha aliyopata.
29 Mar 2024
- Kenyans are set to commence their 4-day holiday from today.
29 Mar 2024
- One second might not sound like a lot, but for computing, it might as well be days or weeks. Imagine a scenario where transactions are logged with timestamps that don't align correctly.
29 Mar 2024
- He was blocked by two motor vehicles whereby seven men alighted and introduced themselves as police officers.
29 Mar 2024
- Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs CS Musalia Mudavadi has highlighted the role of tech diplomacy in enhancing diplomatic outreach, networking, and global visibility while fostering cultural exchanges.
29 Mar 2024
- A bus crash in South Africa's northern province of Limpopo resulted in 45 deaths and one serious injury, South Africa's Department of Transport said on Thursday.
29 Mar 2024
- Two people died while two others sustained injuries following an accident that involved two private vehicles at Rakwaro area on Rongo-Awendo highway in Migori County
29 Mar 2024
- Happiness levels in Kenya have dropped for the first time in five years.
29 Mar 2024
- Pope Francis, who often pleads for compassion to prisoners, washed the feet of 12 incarcerated women in Rome on Thursday in a rite marking Holy Thursday before Easter.
29 Mar 2024
- Kenyans are set to commence their 4-day holiday from today.
29 Mar 2024
- City traders get reprieve in tariff row but...
29 Mar 2024
- When substantive policy or governance issues arise, the focus should remain firmly on the matter’s merits.
29 Mar 2024
- There are plans to foster collaboration among State agencies, local authorities and community leaders.
29 Mar 2024
- Their mother, Lusila Wairu Waweru, died in October, 2015.