- 64 views
Wizara ya afya imesema kuwa utekelezaji wa hazina ya bima ya kijamii ya afya unaendelea ipasavyo licha ya changamoto za hapa na pale kuhusiana na baadhi ya maswala. Kwenye taarifa wizara hiyo ilitaja maswala sita yanayoibua wasiwasi ambayo inayashughulikia huku ikikariri kwamba wakenya wanaweza kupata huduma za kimsingi za matibabu katika vituo vya afya vya level one hadi three. Haya yanajiri huku baraza la magavana likionya kwamba utekelezaji wa mpango huo wa afya huenda ukatatizika kutokana na ukosefu wa pesa. Baraza hilo lilikosoa wizara ya fedha kwa kutenga shilingi bilioni sita pekee za utekelezaji wa mpango huo licha ya kuwekeza zaidi ya shilingi bilioni-100 kwa mpango huo wa afya. Mwanahabari wetu Timothy Kipnusu anatuarifu zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Sintofahamu ya SHA I Serikali yaagiza wagonjwa wote wahudumiwe
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 5 Jul 2025 - Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
- 5 Jul 2025 - A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
- 5 Jul 2025 - Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - Duale urged counties and health workers to help enforce the policy.
- 5 Jul 2025 - Ruto has appointed John Munyu as the Non-Executive Chairperson of the Pharmacy and Poisons Board.
- 5 Jul 2025 - The general claimed Kenyan police have not achieved tangible progress despite being on the ground for months.
- 5 Jul 2025 - The youth leader was rearrested a few minutes after being released on cash bail.
- 5 Jul 2025 - The ex-DP, while speaking at a funeral, claimed his Kikuyu community was being targeted.