- 346 views
Watu watano wamejeruhiwa kufuatia mkasa wa moto katika soko moja la kibiashara mjini Garissa mapema leo Mamia ya wafanyabiashara wanakadiria hasara kufuatia moto huo ulioteketeza majumba ya biashara katika soko la suq mugdi mjini humo. Serikali ya kaunti na wakaazi walishirikiana kuuzima moto huo uliosambaa kwa kasi. Waliojeruhiwa wanapokea matibabu katika hospitali ya rufaa ya garissa. Tukio kama hili pia limeshuhudiwa mjini hola kaunti jirani ya tana river baada ya moto kuteketeza jumba moja la burudani. Moto huu ulisababishwa na hitilafu ya nguvu za umeme.
Soko la Suq Mugdi Garissa lateketea moto
- 1 Jul 2025 - Critical shortfalls in global humanitarian funding now threaten millions of Sudanese refugees fleeing war to seek refuge in neighbouring countries, the UN World Food Programme (WFP) said on Monday.
- 1 Jul 2025 - Vihiga Governor Wilber Ottichillo has warned private pharmacy operators against selling drugs stolen from public health facilities. Ottichilo said he would be forced to deal with those who will be found selling stolen drugs decisively and firmly. “I…
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - Wiper Democratic Movement leader Kalonzo Musyoka has proposed that neutral arbitrators be appointed to aid in the negotiations between the government and Gen Z. Kalonzo said having non-partisan mediators will help address the issues with a lot of…
- 1 Jul 2025 - State urges parents, elders to guide youth away from anarchy
- 1 Jul 2025 - Monetising data: Africa should not be left behind
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Measles, typhoid outbreaks spur vaccination drive