- 52 viewsMwezi mtukufu wa Ramadhan Mwaka 2023 umeambatana na kipindi kirefu cha ukame katika historia ya Somalia. Ramadhan imeleta ongezeko la bei za vyakula kwa nchi ambayo tayari inahangaika na mfumuko wa bei uliosababishwa kwa kiasi fulani na uvamizi wa Russia huko Ukraine na mavuno kidogo yaliyosababishwa na miaka mitano ya mfululizo wa misimu ya ukosefu wa mvua. Mamilioni ya mifugo ambayo ndiyo kiini cha lishe kwa watu imekufa, na takriban watu 43,000 kufariki mwaka jana pekee. #somalia #drought #climatechange #ramadan - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Somalia yaanza Ramadhan katika kipindi kirefu cha ukame kihistoria
- » Murkomen appoints aircraft accident investigation team after General Ogolla died in helicopter crash20 Apr 2024 - Transport Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has appointed an aircraft accident investigation team following the fatal helicopter crash that killed Chief of Dence Forces General Francis Ogolla and nine other KDF soldiers.
- 20 Apr 2024 - The town registered the highest demand for land since the start of 2024.
- 20 Apr 2024 - Speaking during his father's memorial service at the Ulinzi Sports Complex in Nairobi, Joel stated that the country must remain unbowed.
- 20 Apr 2024 - Military prepares for first of its kind CDF burial
- 20 Apr 2024 - United Democratic Alliance (UDA) members and officials in Nyanza have suspended their ongoing campaigns in light of the tragic passing of Chief of Defence Forces (CDF) Francis Ogolla.
- 20 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Ethiopia’s Tamirat Tola, the reigning 2022 world marathon champion, and his compatriot Kenenisa Bekele, a multiple world and Olympic gold […]
- 20 Apr 2024 - The 5th edition of Kip Keino classic continental tour will be held today 20th April 2024 at Nyayo stadium This year's edition which is returning to Nyayo for the 2nd time since 2020 has attracted several world and Olympic medalists in both track and…
- 20 Apr 2024 - During the lap of honour, the military parade went around the stadium, giving guests and all attendees an opportunity to pay their last respects to the late military chief.
- 20 Apr 2024 - President Ruto is among dignitaries at the event
- 20 Apr 2024 - Bittersweet moment for Gen. Ogolla's family as they celebrate father's 100th birthday