- 397 viewsSpika wa bunge la Tanzania DR. Tulia Ackson amesema bunge la nchini hiyo lina wajibu wa kupunguza matumizi ya serikali. Ameyasema hayo katika mahojiano maalumu na kipindi hichi cha Dunia leo mapema leo, ambapo pia mbali na kuwa spika wa bunge la Tanzania , Dr. Ackson ni mwenyekiti wa muunga wa mabunge ya Afrika –IPU na sasa anagombea kuwa rais wa muungano huo. Kwanza anaanza kwa kujibu kuhusu kubana matumizi ya serikali . #VOASwahili #spika #bunge #tanzania #matumizi #serikali #voa #dunianileo Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Spika wa Bunge la Tanzania Dr Tulia Ackson azungumzia wajibu wa Bunge kupunguza matumizi ya serikali
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - ELIMU LIVE ››
- 22 Sep 2023 - The body of a 26-year-old man who slipped and fell into Gicheru Water Falls in Kirinyaga County has finally been retrieved
- 22 Sep 2023 - Restaurant chain McDonald’s is being sued over a hot coffee spill, again.
- 22 Sep 2023 - Along the banks of the Kalambo River in Zambia near Africa's second-highest waterfall, archaeologists have excavated two logs of the large-fruited bushwillow tree that were notched, shaped and joined nearly half a million years ago.
- 22 Sep 2023 - A Muslim woman has been sentenced to two years in prison under Indonesia’s blasphemy law over a video she shared on TikTok which showed her reciting an Islamic prayer before trying out pork while visiting the tourist island of Bali.
- 22 Sep 2023 - India has suspended visa services for Canadian citizens over what it says are “security threats” against diplomats in Canada, escalating a spat between both countries after Ottawa accused New Delhi of potentially being behind the assassination of a Sikh…
- 22 Sep 2023 - The agency has advised matatus to use alternative pick-up and drop-off points.
- 22 Sep 2023 - All Kenyans are shareholders in the government - CS Kuria
- 22 Sep 2023 - Israel-based firm was brought on board when the mall reopened in 2015, replacing a local security firm that was in charge at the time of the attack.
- 22 Sep 2023 - The government is fast tracking licensing of coffee brokers to replace the former marketing agents at the Nairobi Coffee Exchange
- 22 Sep 2023 - For about three days, I was floating in excitement – of finally traveling out of the continent, until my boss reminded me to write to HR to request a visa letter.