- 397 viewsSpika wa bunge la Tanzania DR. Tulia Ackson amesema bunge la nchini hiyo lina wajibu wa kupunguza matumizi ya serikali. Ameyasema hayo katika mahojiano maalumu na kipindi hichi cha Dunia leo mapema leo, ambapo pia mbali na kuwa spika wa bunge la Tanzania , Dr. Ackson ni mwenyekiti wa muunga wa mabunge ya Afrika –IPU na sasa anagombea kuwa rais wa muungano huo. Kwanza anaanza kwa kujibu kuhusu kubana matumizi ya serikali . #VOASwahili #spika #bunge #tanzania #matumizi #serikali #voa #dunianileo Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Spika wa Bunge la Tanzania Dr Tulia Ackson azungumzia wajibu wa Bunge kupunguza matumizi ya serikali
- 27 Apr 2024 - UDA party grassroots elections kicked off in various counties to confusion largely caused by voter identification hitches in some parts and late starts in others.
- 26 Apr 2024 - A Malindi court has sentenced a Madrassa teacher to 20 years in prison for stupefying his 15-year-old student before sodomizing him repeatedly.
- 26 Apr 2024 - The ongoing heavy rains that have wreaked havoc across the country have also flooded the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
- 26 Apr 2024 - President Wiliam Ruto has arrived in Zimbabwe for a two-day State Visit. He was received by his host President Emmerson Mnangagwa. President Ruto will be the Chief Guest at the 64th Zimbabwe International Trade Fair in Bulawayo on Saturday. The tour is…
- 26 Apr 2024 - The government has allocated Ksh.4 billion in funds for the mitigation of floods across the country.
- 26 Apr 2024 - Chinese Foreign Minister Wang Yi urged the U.S. not to suppress China’s development during talks with U.S. Secretary of State Antony Blinken on Friday in Beijing. Blinken is visiting China from April 24 to 26. Wang, also a member of the Political Bureau…
- 26 Apr 2024 - This convincing, extremely routine 4-0 win saw City move ahead of Liverpool into second place and to within one point of Arsenal
- 26 Apr 2024 - Nyong'o says in the early 2000s, malaria burden exceeded 50 per cent prevalence
- 26 Apr 2024 - Marta could make her sixth appearance at an Olympic Games if she is selected for Brazil's squad this summer in Paris.
- 26 Apr 2024 - Slot confirmed on Thursday that he hopes to get the Anfield job and that "the clubs are in negotiations".