- 397 viewsSpika wa bunge la Tanzania DR. Tulia Ackson amesema bunge la nchini hiyo lina wajibu wa kupunguza matumizi ya serikali. Ameyasema hayo katika mahojiano maalumu na kipindi hichi cha Dunia leo mapema leo, ambapo pia mbali na kuwa spika wa bunge la Tanzania , Dr. Ackson ni mwenyekiti wa muunga wa mabunge ya Afrika –IPU na sasa anagombea kuwa rais wa muungano huo. Kwanza anaanza kwa kujibu kuhusu kubana matumizi ya serikali . #VOASwahili #spika #bunge #tanzania #matumizi #serikali #voa #dunianileo Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Spika wa Bunge la Tanzania Dr Tulia Ackson azungumzia wajibu wa Bunge kupunguza matumizi ya serikali
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
- 12 Jul 2025 - Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
- 12 Jul 2025 - Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.
- 12 Jul 2025 - At least seven people have been confirmed dead following a tragic road accident involving a lorry transporting tea leaves and a public service matatu at Kijauri Market in Borabu Constituency.
- 12 Jul 2025 - A son of Mexican drug kingpin Joaquin "El Chapo" Guzman pleaded guilty to drug charges in Chicago on Friday in a deal struck with prosecutors in return for a reduced sentence.
- 12 Jul 2025 - There is a need to raise awareness on gender–land–climate nexus to strengthen the role of women parliamentarians and duty bearers in gender-responsive land and climate policy-making.
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - According to the police, the suspect allegedly attacked the deceased after reportedly finding him buying sukuma wiki from his wife.
- 12 Jul 2025 - At the time of the crash, one engine was regaining thrust while the other had relit but had not yet recovered power.
- 12 Jul 2025 - “The Kambas who were behind him, they have left. The Kisis have left. The Luhyas have left. The Maasais have left. The Luo Nation is divided in the middle.”