Skip to main content
Skip to main content

St. Joseph Kitale yafuzu nusu fainali ya michezo ya shule za Afrika Mashariki kwa kuifunga Agai 3-1

  • | Citizen TV
    799 views
    Duration: 1:09
    MABINGWA WA SOKA YA SHULE ZA KITAIFA ST. JOSEPH KITALE, WANAOJULIKANA PIA KAMA JOBO, WAMEFUZU KWA NUSU FAINALI YA MICHEZO YA SHULE ZA AFRIKA MASHARIKI BAADA YA KUIFUNGA SHULE YA SEKONDARI YA AGAI KUTOKA NYANZA 3-1 KATIKA UWANJA WA BUKHUNGU KAUNTI YA KAKAMEGA.