- 417 viewsKiongozi wa kijeshi wa Sudan asema nchi yake na Ethiopia zimekubaliana katika masuala yote kuhusu bwawa lenye utata la Grand Ethiopian Renaissance Dam. Endelea kusikia maafikiano yaliyofikiwa juu ya kadhia hiyo na nini serikali hizo mbili zimekubaliana. Endelea kusikiliza ripoti kamili... #kiongozi #jeshi #Sudan #ethiopia #bwawa #utata #grandethiopianrenaissancedam #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Sudan na Ethiopia wafikia makubaliano ya bwawa lenye utata
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - Doctors social ››
- 25 Apr 2024 - The assessment will replace the Kenya Certificate of Primary Education examinations.
- 25 Apr 2024 - Survey shows schools have poor facilities and high levels of teacher and student absenteeism.
- 25 Apr 2024 - Several Marsabit County top officials were also taken for questioning.
- 25 Apr 2024 - More than 10 people feared dead in Nairobi as President Ruto directs the formation of response team.
- 25 Apr 2024 - Deby’s top challenger is Succes Masra, an economist and opposition leader.
- 25 Apr 2024 - According to data by Red Cross, 24, 741 households have been adversely affected with 11,206 getting displaced
- 25 Apr 2024 - The bill now moves to the senate, where there is a good chance it will pass.
- 25 Apr 2024 - Peres Jepchirchir and Alexander Munyao clinched the men's and women's titles in London.
- 25 Apr 2024 - Kenya are joint top alongside Uruguay with 36 points and will face Chile, Portugal, and Mexico in Pool C.
- 25 Apr 2024 - Abok said they will concentrate on strength and conditioning and skill work to stay ahead of their competitors.