Kiongozi wa kijeshi wa Sudan asema nchi yake na Ethiopia zimekubaliana katika masuala yote kuhusu bwawa lenye utata la Grand Ethiopian Renaissance Dam. Endelea kusikia maafikiano yaliyofikiwa juu ya kadhia hiyo na nini serikali hizo mbili zimekubaliana. Endelea kusikiliza ripoti kamili...
#kiongozi #jeshi #Sudan #ethiopia #bwawa #utata #grandethiopianrenaissancedam #voa #voaswahili #dunianileo
- - - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
23 Mar 2023
- A student wanted for shooting two school staff in Denver, Colorado, on Wednesday was found dead in a neighbouring county, US media reported, citing authorities.
23 Mar 2023
- The Kirinyaga County Government has initiated the process of reclaiming land from owners who have failed to pay land rates and ground rent.
23 Mar 2023
- One person was killed and eight others injured during a stampede for free flour in inflation-wracked Pakistan on Thursday, the first day of the holy month of Ramadan.
23 Mar 2023
- A jury in London found Nigeria's former deputy Senate president guilty of plotting to harvest a street trader's kidney for his sick daughter.
23 Mar 2023
- The government has earmarked Ksh.262 billion ($2 billion) for the implementation of 17 projects and programmes across ten counties in the Northern and North Eastern parts of the country.
23 Mar 2023
- While speaking on Citizen Digital's Twitter space last night, Akothee spoke passionately of the sweat, blood and tears she pumped into her work which included paying the media to having to craft random controversies for airplay.