Skip to main content
Skip to main content

Sudan yatangaza vifo vya watu 2,500 Darfur, yataka Umoja wa Mataifa na AU waingilie kurejesha amani

  • | Citizen TV
    602 views
    Duration: 1:16
    Jamhuri ya Sudan imetangaza kwamba kufikia sasa watu 2,500 wameuwawa katika mji wa El Fashir eneo la Darfur. Naibu balozi wa nchi hiyo Muhammad Akasha Osman amesema kwamba huenda idadi hiyo ikaongezeka kutokana na taharuki inayoendelea tangu kundi la Rappid Support Forces -RSF kuteka mji huo. Osman alihimiza umoja wa mataifa na muungano wa Afrika kuingilia kati na kutuma wanajeshi ili kurejesha amani nchini humo.