- 15 views
Wakenya wametakiwa kuchukua hatua za sheria iwapo watanyimwa habari muhimu kuhusu utendakazi wa serikali kuu na zile za kaunti. Akiongea katika kaunti ya Samburu wakati wa kampeni ya uhamasisho kuhusu umuhimu wa kupata habari zinazohitajika ambayo iliandaliwa na taasisi ya Katiba, Kevin Mabonga kutoka taasisi hiyo alisema kila Meknya ana haki ya kupata habari anazohitaji kwa mujibu wa kifungu cha 35 cha katiba ya Kenya. Taasisi ya Katiba imesema serikali inapasa kutoa habari zinazohitajika kwa ajili ya kuhakikisha uwajibikaji.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Taasisi ya Katiba yasema kufahamu ni nguvu
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 28 Apr 2025 - UDA has ghost workers on State payroll, former SG Malala claims
- 28 Apr 2025 - TSC, SHA clash over teachers' health cover amid limited access to services
- 28 Apr 2025 - They carry our pain, cry when no one sees, but who takes care of caregivers?
- 28 Apr 2025 - NSSF's plan to pay pension dues in a day signals relief for retirees
- 28 Apr 2025 - Ruto's remarks on roads levy cash spark stormy devolution debate
- 28 Apr 2025 - Governor Isaac Mutuma reinstates staff goodies that were withdrawn by his predecessor Kawira Mwangaza.
- 28 Apr 2025 - Former UDA Secretary General Cleophas Malala has sensationally placed President William Rutos party at the centre of a multi-million-shilling tax evasion scandal involving unremitted taxes.
- 28 Apr 2025 - Betting sector takes action to curb addiction with new rules
- 28 Apr 2025 - Hope for women with fibroids as new treatment saves fertility
- 28 Apr 2025 - He is expected to launch his party next month.