- 12 views
Wizara ya afya inawahimiza wabunge kupitisha haraka sheria ya kuanzisha rasmi taasisi ya kitaifa ya afya ya umma ya Kenya, iliyoanzishwa kupitia tangazo la kisheria la mwaka 2022 ili iweze kupata ufadhili zaidi. Taasisi hiyo iliyozinduliwa na waziri wa afya Aden Duale, inalenga kuboresha afya ya umma kwa kuzuia magonjwa, kukuza maisha yenye afya, kufuatilia magonjwa, kutafiti masuala ya afya, kuratibu sera za afya na kushughulikia kwa haraka masuala ya dharura ya afya.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Taasisi ya kitaifa ya afya ya umma yazinduliwa
- - Pope Leo XIV ››
- 9 May 2025 - President Donald Trump's administration asked the U.S. Supreme Court on Thursday to intervene in its bid to revoke the temporary legal status granted by his predecessor Joe Biden to hundreds of thousands of Venezuelan, Cuban, Haitian and Nicaraguan…
- 9 May 2025 - KCB FC will be out to end their five-match winless run when they take on Shabana FC in a high-stakes Football Kenya Federation (FKF)-Premier League fixture set for this afternoon at the Dandora Stadium. The Bankers who fell 1-0 to Talanta FC in their…
- 9 May 2025 - It's a shoe in: Ruto's reign will be defined by the flying missile
- 9 May 2025 - Burnt Forest farmer ushers in a new era of post-harvest management
- 9 May 2025 - Selective justice? Why Ong'ondo's case was acted on as others shelved
- 9 May 2025 - Athletics legend Suter Chemweno admitted to a hospital in Eldoret
- 9 May 2025 - Heroic send-off as the body of slain Kasipul MP is transported home
- 9 May 2025 - NSE to empower one million women in capital markets
- 9 May 2025 - Cardinal Robert Prevost becomes first US pope as Leo XIV
- 9 May 2025 - Edward Kwach: Farewell to radio trailblazer