Skip to main content
Skip to main content

Taasisi ya kuchapisha vitabu yawasilisha vitabu Awendo

  • | Citizen TV
    91 views
    Duration: 1:58
    Taasisi ya kuchapisha vitabu kwa ushirikiano na ofisi ya mwakilishi wadi ya wadi ya Sakwa Kusini, kaunti ndogo ya Awendo wametoa vitabu vya thamani ya shilingi milioni 3 kwa shule 32 za msingi katika wadi hiyo.