Skip to main content
Skip to main content

Taharuki yatanda Tanzania baada ya serikali kupiga marufuku maandamano ya kitaifa

  • | Citizen TV
    19,266 views
    Duration: 2:58
    Hali tete inashuhudiwa katika taifa jirani la Tanzania kufuatia maandamano ya kitaifa yaliyopangwa kufanyika hapo kesho. Hata hivyo, maafisa wa usalama nchini humo wamepiga marufuku maandamano hayo na kuwataka wakaazi wasalia majumbani. Makundi ya kutetea haki za kibinaadam yamekashifu serikali ya rais samia suluhu kwa kutoruhusu haki ya wakaazi kujieleza