- 246 viewsVisiwa vya Ushelisheli kwenye pwani ya Afrika ni mchanganyiko wa tamaduni mbali mbali. Wakazi wa muda mrefu ni pamoja na wale wenye asili ya China. Lakini uwekezaji wa Beijing wa kimkakati ulioko nchini humo uwavutia wale wapya wanaowasili kutoka China wakitaka kufanya biashara na kisiwa hicho. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Tamaduni za Ushelisheli zinavyowavutia Wachina | VOA Swahili
- - Duniani Leo ››
- 17 Jun 2025 - A 35-year-old fisherman died in a police holding cell at Kipasi Police Post in Suba North Constituency, Homa Bay County, raising fresh concerns over the security of individuals being detained in police custody. The incident comes after the controversial…
- 17 Jun 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi is in Finland for a two-day official visit to represent President William Ruto at the 13th edition of the Kultaranta talks, a high-level annual forum on emerging geopolitical dynamics, global security and…
- 17 Jun 2025 - FIFA has decided not to show any videos, signage or marketing assets in venues hosting the Club World Cup in the United States which explicitly mention challenging racism or discrimination. According to multiple sources briefed on FIFA’s planning for…
- 17 Jun 2025 - Governor Kenneth Lusaka has expressed confidence that the Western region will rally overwhelmingly behind President William Ruto in the 2027 general elections, declaring that the ‘Mulembe’ nation is now fully united in support of the Head of State.…
- 17 Jun 2025 - Embattled Kitui County Assembly Speaker Kevin Kinengo faces sanctions from the Wiper Democratic Party over his blatant declaration to work and partner with the Kenya Kwanza administration in a campaign to support President William Ruto’s re-election bid…
- 17 Jun 2025 - Five gunshots to the chest, fired in rapid succession, left no room for survival. The killers’ intention was clear: to send the 21-year-old man to an early grave. The heavily armed bandits, believed to be from Tiaty sub-county in Baringo County, made…
- 17 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has fired a rejoinder to President Ruto’s remarks that he will not relinquish power to the opposition. Gachagua said that while Ruto is talking about handing over power, the constitution stipulates the assumption…
- 17 Jun 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
- 17 Jun 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale has announced sweeping reforms to overhaul Kenya’s healthcare system through the Social Health Authority (SHA), marking a decisive departure from the defunct National Health Insurance Fund (NHIF). Partnerships with…
- 17 Jun 2025 - A devastating new report has revealed that about 30 per cent of medicines circulating in Africa are falsified, with rates soaring to 60-80 per cent in conflict-affected regions. The study, “Securing the Medicine Distribution Network in Africa”, was…