- 75 viewsSerikali ya Tanzania inawahimiza madereva kubadili kuweka petrol kwenye magari yao na badala yake kutumia gesi asili. Mpango huo unalenga kupunguza hewa chafu ya Carbon ambayo inasababisha ongezeko la joto duniani. Madereva wanatumai kuwa baada ya muda fulani wataweza kuifadhi pesa kwa kutumia gesi asili, kama anavyoripoti Charles Kombe kutoka Dar Es Salaam. #VOASwahili #serikali #tanzania #madereva #petroli #gesiasilia #voa #dunianileo Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tanzania yahimiza matumizi ya gesi ya asili katika magari
- - Duniani Leo ››
- - ELIMU LIVE ››
- 22 Sep 2023 - The body of a 26-year-old man who slipped and fell into Gicheru Water Falls in Kirinyaga County has finally been retrieved
- 22 Sep 2023 - Restaurant chain McDonald’s is being sued over a hot coffee spill, again.
- 22 Sep 2023 - Along the banks of the Kalambo River in Zambia near Africa's second-highest waterfall, archaeologists have excavated two logs of the large-fruited bushwillow tree that were notched, shaped and joined nearly half a million years ago.
- 22 Sep 2023 - A Muslim woman has been sentenced to two years in prison under Indonesia’s blasphemy law over a video she shared on TikTok which showed her reciting an Islamic prayer before trying out pork while visiting the tourist island of Bali.
- 22 Sep 2023 - India has suspended visa services for Canadian citizens over what it says are “security threats” against diplomats in Canada, escalating a spat between both countries after Ottawa accused New Delhi of potentially being behind the assassination of a Sikh…
- 22 Sep 2023 - A Unicef report reveals that many fatal cases of violence against women and girls are covered up by families, while many others are settled out of court.
- 22 Sep 2023 - Ms Macharia said the PWPER report puts TSC at odds with the Ministry of Education.
- 22 Sep 2023 - Kiambu gears up for bumper entry at Kiambu Invitational Gala
- 22 Sep 2023 - Reading Time: 2 minutes India has expressed readiness to review tariffs on Kenya avocado exports, High Commissioner to Kenya Namgya Khampa has said. The […]
- 22 Sep 2023 - Kenyan with mental health woes in the US seeks solace in a white boy