- 75 viewsSerikali ya Tanzania inawahimiza madereva kubadili kuweka petrol kwenye magari yao na badala yake kutumia gesi asili. Mpango huo unalenga kupunguza hewa chafu ya Carbon ambayo inasababisha ongezeko la joto duniani. Madereva wanatumai kuwa baada ya muda fulani wataweza kuifadhi pesa kwa kutumia gesi asili, kama anavyoripoti Charles Kombe kutoka Dar Es Salaam. #VOASwahili #serikali #tanzania #madereva #petroli #gesiasilia #voa #dunianileo Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tanzania yahimiza matumizi ya gesi ya asili katika magari
- 22 Apr 2025 - Pope Francis died of a stroke, causing a coma and "irreversible" heart failure, according to his death certificate released by the Vatican on Monday.
- 22 Apr 2025 - Nairobi City Thunder (NCT) basketball team has received a major boost ahead of the upcoming Basketball Africa League (BAL) championship, after being assigned a Senegalese NBA G-League player to reinforce the squad. The team is also eyeing continental…
- 22 Apr 2025 - The papacy journey started with St. Peter, he who Christ christened as the rock of the Church.
- 22 Apr 2025 - Tragedy struck on Monday at Loberer area along the Marigat-Chemolingot route in Baringo County, where two people were shot dead and two others injured. The victims were ambushed by suspected bandits while travelling to Nginyang market in a police convoy…
- 22 Apr 2025 - Kenya Chipu aim to defend Barthes Trophy after perfect start
- 22 Apr 2025 - People's Pope signs off, leaving behind a church changed forever
- 22 Apr 2025 - From social justice to tackling abuse: 12 years of Pope Francis
- 22 Apr 2025 - Role of Commissioner for Cooperatives questioned in Kuscco Sh13b saga
- 22 Apr 2025 - Youths dare dream as Nyanza's Junior Golf tourney highlights growth
- 22 Apr 2025 - The inconvenient truth about devolution, the environment