- 243 viewsMakamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris atajitokeza katika mstari wa mbele wa mapambano ya demokrasia Afrika siku ya Alhamisi, akiwa nchini Tanzania wakati nchi hiyo ikipiga hatua katika kurejesha sifa yake kama serikali yenye kujumuisha watu mbalimbali kitaifa. Samia Suluhu Hassan, rais wa kwanza mwanamke Tanzania, ameondoa baadhi ya sera kandamizi, kama vile kupiga marufuku mikutano ya upinzani, licha ya kuwa aliingia madarakani kama mwanachama wa chama tawala. Harris, mwanamke wa kwanza kuhudumu nafasi ya makamu wa rais wa Marekani, atakutana na Samia Alhamisi, ikiwa ni ishara muhimu ya kuungwa mkono na Washington wakati Marekani ikiimarisha ushirikiano wake na Afrika. #tanzania #samiasuluhuhassan #kamalaharris - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tanzania Yamkaribisha Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - Chief Justice Martha Koome has called on Kenyans to help the judiciary in dealing with rising cases of Sexual and Gender-Based Violence (SGBV) in the country.
- 13 May 2025 - Kenya Power has announced that parts of the country will experience power disruption on Tuesday due to a planned maintenance schedule.
- 13 May 2025 - The Trump administration welcomed on Monday 59 white South Africans it granted refugee status in the U.S., having deemed them victims of racial discrimination, while drawing criticism from Democrats and stirring confusion in South Africa.
- 13 May 2025 - Peering through a microscope, food scientist Raquel Gomez studies microorganisms that add nutrients and preserve tortillas for several weeks without refrigerators -- a luxury in impoverished Mexican communities.
- 13 May 2025 - The party's Secretary General Hassan Omar issued the stinging statement just hours after Gachagua formally severed ties with UDA, nearly six months after his dramatic impeachment as deputy president on October 18, 2024.
- 13 May 2025 - Ministry of Health has partnered with the Clinton Health Access Initiative (CHAI) to address funding gaps in HIV and tuberculosis TB services
- 13 May 2025 - The latest incident adds to the number of school fires witnessed this year.
- 13 May 2025 - Child protection advocates are sounding the alarm following the release of a new report that uncovers a troubling rise in cases of online sexual exploitation and abuse (OCSEA) involving children with intellectual disabilities in Kenya. The findings have…
- 13 May 2025 - Haji: Security at risk without full Sh65bn budget
- 13 May 2025 - KRA moves to end VAT fraud and curb staff collusion