- 243 viewsMakamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris atajitokeza katika mstari wa mbele wa mapambano ya demokrasia Afrika siku ya Alhamisi, akiwa nchini Tanzania wakati nchi hiyo ikipiga hatua katika kurejesha sifa yake kama serikali yenye kujumuisha watu mbalimbali kitaifa. Samia Suluhu Hassan, rais wa kwanza mwanamke Tanzania, ameondoa baadhi ya sera kandamizi, kama vile kupiga marufuku mikutano ya upinzani, licha ya kuwa aliingia madarakani kama mwanachama wa chama tawala. Harris, mwanamke wa kwanza kuhudumu nafasi ya makamu wa rais wa Marekani, atakutana na Samia Alhamisi, ikiwa ni ishara muhimu ya kuungwa mkono na Washington wakati Marekani ikiimarisha ushirikiano wake na Afrika. #tanzania #samiasuluhuhassan #kamalaharris - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tanzania Yamkaribisha Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- - Climate ACTION ››
- 26 Apr 2024 - Manyatta Member of Parliament Gitonga Mukunji has raised concerns over the inactive state of the Rehabilitation Fund established to combat drug and substance abuse in the country.
- » 'Don't associate us with hustler culture,' Tanzania rubbishes claims of exporting fake fertilizer to Kenya26 Apr 2024 - Tanzania's minister of Agriculture Hussein Bashe has responded to allegations made by popular Kenyan lawyer Ahmednassir Abdullahi regarding the origin of the fake fertilizer circulating the country
- 26 Apr 2024 - In a statement on X on Friday, KeNHA cautioned that the wearing away of the causeway poses potential hazards to motorists using the adjacent service road
- 26 Apr 2024 - The burial of Senior Sergeant John Kinyua Muriithi, who died in a helicopter crash two weeks ago, is currently underway in Kirinyaga County.
- 26 Apr 2024 - A 24-year-old suspected drug trafficker was on Friday arrested after police discovered 417 grams of cocaine, worth an estimated Ksh.1.8 million, concealed under the inner sole of his shoes.
- 26 Apr 2024 - Two Kenya Airways (KQ) employees have been arrested in the Democratic Republic of Congo's capital Kinshasa.
- 26 Apr 2024 - A section of Kenyans had raised concerns over private information provided during the search.
- 26 Apr 2024 - Take our quiz to test how well you understood the week's most important stories.
- 26 Apr 2024 - Two Kenya Airways employees detained by the Military Intelligence Unit in Kinshasa, DRC over alleged missing custom documentation on cargo, despite a release order, KQ says.
- 26 Apr 2024 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has initiated emergency disaster response measures to deal with floods and other emergencies arising from heavy rains that have hit the County.