- 37 viewsTeknolojia ya Virtual Reality inajulikana kujikita zaidi kwenye michezo ya video lakini kampuni moja nchini Kenya inatumia teknolojia hii kufundisha watoto wa shule katika maeneo ya kipato cha chini. Katika darasa moja jijini Nairobi, wanafunzi wamekuwa wakitumia teknolojia ya Virtual reality kujifunza zaidi kuhusu uchafuzi wa plastiki. #VOASwahili #teknolojia #virtualreality #michezo #video #kenya #watoto #mashuleni Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Teknolojia ya virtual reality yaanza kufundishwa katika shule za msingi Kenya
- - LIVE: Morning Cafe ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 22 Sep 2023 - A 44-year-old man convicted of the 1996 rape and murder of a dance student was executed by lethal injection in Oklahoma on Thursday, officials said.
- 22 Sep 2023 - Armed robbers on Thursday night shot and injured a cereal trader at Kagio town in Kirinyaga County causing pandemonium as traders and residents abandoned their businesses to scamper for safety.
- 22 Sep 2023 - Ukrainian officials said Thursday that Russian forces carried out aerial attacks on multiple cities overnight, killing at least two people.
- 22 Sep 2023 - The body of a 26-year-old man who slipped and fell into Gicheru Water Falls in Kirinyaga County has finally been retrieved
- 22 Sep 2023 - Restaurant chain McDonald’s is being sued over a hot coffee spill, again.
- 22 Sep 2023 - Along the banks of the Kalambo River in Zambia near Africa's second-highest waterfall, archaeologists have excavated two logs of the large-fruited bushwillow tree that were notched, shaped and joined nearly half a million years ago.
- 22 Sep 2023 - A Muslim woman has been sentenced to two years in prison under Indonesia’s blasphemy law over a video she shared on TikTok which showed her reciting an Islamic prayer before trying out pork while visiting the tourist island of Bali.
- 22 Sep 2023 - He was found dead outside his apartment on September 9
- 22 Sep 2023 - The government has raised concerns over increased illegal gold mining in the country.
- 22 Sep 2023 - Sudan's leader has warned the United Nations his country's war could spill over into neighboring African nations. In a speech, General Abdel Fattah al-Burhan also urged the international community to designate his opponents, the Rapid Support Forces (…