- 753 views
Wakaazi wa vijiji 21 eneo bunge la LungaLunga kaunti ya Kwale wanaishi kwa hofu baada ya ndovu kuvamia vijiji hivyo na kuwauwa watu wanne pamoja na kuharibu mazao yao mashambani. Ndovu hao wanaaminika kutoka katika mbuga ya Tsavo na taifa jirani la Tanzania. Shirika la Huduma kwa wanyama pori nchini KWS limetakiwa kuwajibika na kuhakiksha wanyama hao wamerejeshwa porini ili kuzuia maafa zaidi. Vijiji vilivyoadhirika ni pamoja na Kwanyanje, Mambambarani, Pehoni, Masinga na Mandawacho miongoni mwa vingine.
Tembo waangamiza watu wanne Lungalunga, Kwale
- - LIVE|| NEWS NOW ››
- 25 Apr 2024 - The government is in the process of acquiring 11,000 acres of land in Naivasha to settle squatters from around the Rift Valley region.
- 25 Apr 2024 - President William Ruto has stated that people living in areas susceptible to floods will be moved, whether they like it or not, to ensure they do not endanger their lives.
- » 'I expect world-class legislation': Ruto sets high expectations for MPs as he officially opens Bunge Towers25 Apr 2024 - President William Ruto has declared that he expects a "world-class" performance from Kenyan Members of Parliament (MPs) after opening the Ksh.9.8 billion Bunge Tower.
- » 'I expect world-class legislation': Ruto sets high expectations for MPs as he officially opens Bunge Tower25 Apr 2024 - President William Ruto has declared that he expects a "world-class" performance from Kenyan Members of Parliament (MPs) after opening the Ksh.9.8 billion Bunge Tower.
- 25 Apr 2024 - A total of 10 counties will benefit from the funding
- 25 Apr 2024 - National Election Board chairman Mwaura said they're set for the election that will be conducted electronically.
- 25 Apr 2024 - Shikanda chided fans for turning a blind eye to Opiyo's past masterclass acts
- 25 Apr 2024 - Mackenzie is seeking to be transferred from his current cell to another due to mental distress.
- 25 Apr 2024 - The strategies also seek to protect rights and the welfare of Kenyan workers
- 25 Apr 2024 - The basement parking is a serious concern to members for safety and security.