- 58 views
Chama cha matabibu humu nchini kinaitaka serikali kuimarisha uchunguzi kwenye vituo vya mpaka baina ya Kenya na Uganda na pia barabara kuu inayoelekea magharibi mwa Kenya ili kupunguza uwezekano wa chamko la Ebola humu nchini. Maafisa wa chama hicho wakiongozwa na mwenyekiti wao Peterson Wachira na katibu mkuu George Gibora waliibua wasiwasi kuhusiana na kujiandaa kwa nchi hii na pia kaunti zinazochukuliwa kuwa hatarini za maeneo ya magharibi. Viongozi hao walikuwa wakizungumza wakati wa kukagua hali ya kujiandaa kwa kaunti kukabiliana na ugonjwa huo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #ebola #News
Tishio la Ebola | Serikali yatakiwa kuimarisha uangalizi
- - EMERGENCY RESPONSE ››
- - NTV LIVE: April 2024 ››
- 23 Apr 2024 - Azimio has called for both a judicial and Parliamentary inquest into the death of CDF General Francis Ogolla, who was killed in a helicopter crash last week.
- 23 Apr 2024 - KMPDU has maintained its stance on medical interns’ pay, saying the government's pledge to fulfil their other demands will not supersede the former.
- 23 Apr 2024 - The Communications Authority of Kenya (CA) has issued a stern warning to matatus reportedly engaged in the delivery of packages without being licensed to do so by the government.
- 23 Apr 2024 - A section of the politicians could be seen confronting each other as others watched from a distance.
- 23 Apr 2024 - It was remarked that governors will eventually have to take responsibility for presiding over what senators described as criminal enterprises.
- 23 Apr 2024 - Health Cabinet Secretary Susan Nakhumicha says the ministry will move to court if the Kenya Medical Practitioners and Dentists Union (KMPDU) does not call off the doctors’ strike which entered its 41st day on Tuesday.
- 23 Apr 2024 - The directive was issued after Mackenzie’s lawyer Wycliffe Makasembo failed to appear in court.
- 23 Apr 2024 - The meeting follows uproar from Kenyans who questioned the rationale Sakaja had applied.
- » Ministry of Tourism targets to increase number of tourists from 1.9 million to 3 million by end of 202423 Apr 2024 - The Ministry of Tourism has announced that it is targeting to increase the number of international tourists from 1.9 million to 3 million by the end of 2024.
- 23 Apr 2024 - They pleaded for mercy saying they had learnt their lesson.