Trump aanzisha rasmi sera ya jinsia mbili; kiongozi wa kanisa amuomba awe na huruma
Rais Donald Trump ameanza utawala wake mpya wiki hii kwa kusaini mamia ya amri za kiutendaji kwa masuala mbali mbali kuanzia nishati hadi uhamiaji.
Baadhi ya amri zake ni pamoja na kufuta programu za mchanganyiko, uwiano na ushiriki na kutangaza kuwa serikali ya Marekani itatambua jinsia mbili tu – mwanamme na mwanamke.
“Kuanzia hivi leo, na kuendelea itakuwa ni sera rasmi ya serikali ya Marekani kuwa kuna jinsia mbili tu, mwanamme na mwanamke,” Trump alisema katika hotuba yake baada ya kuapishwa siku ya Jumatatu.
Siku moja baada ya kutangaza kuwa kutakuwa na jinsia mbili tu nchini Marekani na kusaini amri za kiutendaji ili kuwakamata wahamiaji haramu, Mchungaji wa Kanisa la Episcopal Mariann Edgar Budde alimrai Trump kuonyesha huruma kwa watu ambao walikuwa na hofu ya “kile” kitakacho tokea.
#trump #amriyakiutendaji #jinsia #reels #voa #voaswahili
16 Mar 2025
- The suspects were arrested after a tip-off from members of the public.
16 Mar 2025
- The lawmaker took to social media to make demands after the publication went viral.
16 Mar 2025
- The officers were promoted across different ranks over the weekend.
17 Mar 2025
- The program is a key pillar of President William Ruto’s manifesto, aimed at ensuring equitable, quality, and affordable healthcare for all Kenyans.
17 Mar 2025
- Speaking in Uasin Gishu County, the leaders criticized former Deputy President Rigathi Gachagua for his opposition to the Social Health Authority (SHA), despite supporting it while in government.
17 Mar 2025
- The bizarre incident caused a stir in the village, prompting his family to rush him to the hospital, where he was admitted to the Intensive Care Unit (ICU).
16 Mar 2025
- Trump's envoy Steve Witkoff, who met for several hours with Putin days ago, told CNN in a televised interview: "I think the two presidents are going to have a really good and positive discussion this week."
16 Mar 2025
- The 46-year-old woman was targeted as she was inside the tram in Gera, in eastern Germany.
16 Mar 2025
- Leaders of various Saccos and associations representing over 2.5 million boda boda and tuk-tuk riders in Kenya have unanimously elected former Nairobi Governor Mike Sonko as their patron
16 Mar 2025
- Officers seized the 826 kilogrammes of drugs on Saturday just off the autoroute leading to the city of Lyon and arrested the truck's Polish driver, the source said.
16 Mar 2025
- Archbishop Jackson Ole Sapit has banned all political rhetoric in the Anglican Church of Kenya (ACK) and its functions across the country.
16 Mar 2025
- Nandi County Senator Samson Cherargei has suggested that religious organizations develop structured ways to handle contributions for church development, rather than relying on political fundraising events (harambees) held in churches. In a statement…
16 Mar 2025
- The suspects were arrested after a tip-off from members of the public.