Trump: Marekani inaweza 'kuichukua' Gaza
Rais Donald Trump amesema kuwa watu wa Palestina wanaweza kuhamishwa katika mataifa mengine huku Marekani ikichukua Gaza ili kuondoa mabomu ambayo hayajalipuka, kujenga upya na kuendeleza upya eneo hilo kiuchumi.
Alikuwa katika mkutano wa pamoja wa waandishi wa habari na Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, ambaye alisema wazo la Trump "linafaa kupewa kipaumbele".
Ukanda wa Gaza umezungukwa na Israel, Misri na Bahari ya Mediterania.
Tarehe 7 Oktoba 2023, Hamas ilishambulia Israeli na kuua watu wapatao 1,200 na kuchukua zaidi ya mateka 250.
Hii ilisababisha mashambulizi ya kijeshi ya Israel ambapo zaidi ya watu 47,400 wameuawa, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas.
#bbcswahili #marekani #trump
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
17 May 2025
- The project was to benefit over 5,000 Kenyans.
17 May 2025
- The former DP spilled the beans on his previous life before entering the world of politics.
17 May 2025
- This comes after Murkomen declared that Ruto would secure re-election in 2027, under all circumstances.
17 May 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has opened up about the breakdown of his relationship with retired President Uhuru Kenyatta, expressing deep regret over what he described as a personal and political misjudgment.
17 May 2025
- Cooperatives and MSMEs Cabinet Secretary Wycliffe Oparanya has announced that the national government will distribute over 5 million coffee seedlings to farmers through cooperative societies at the start of the next financial year.
17 May 2025
- The project was to benefit over 5,000 Kenyans.
17 May 2025
- Lands, Housing and Urban Development Cabinet Secretary Alice Wahome has dismissed social media allegations that she plans to resign. Speaking during a tree-planting event in Laikipia, Wahome emphasised that her position in the Kenya Kwanza government is…
17 May 2025
- Lands, Housing and Urban Development Cabinet Secretary Alice Wahome has dismissed social media allegations that she plans to resign. Speaking during a tree-planting event in Laikipia, Wahome emphasised that her position in the Kenya Kwanza government is…
17 May 2025
- Gachagua emphasised the need for the electoral body to strictly adhere to the law.
17 May 2025
- "Your sterling performance has filled the nation with pride."
17 May 2025
- Police say they are treating "Melania's" disappearance as "theft" and have launched an investigation.
17 May 2025
- As Gachagua seeks to position himself as Ruto’s chief antagonist, he must navigate a treacherous political landscape.
17 May 2025
- The prices are incredible, with the social housing that is targeting those living in slums going for as low as Sh640,000.