- 3,039 viewsRais Donald Trump amesema kuwa watu wa Palestina wanaweza kuhamishwa katika mataifa mengine huku Marekani ikichukua Gaza ili kuondoa mabomu ambayo hayajalipuka, kujenga upya na kuendeleza upya eneo hilo kiuchumi. Alikuwa katika mkutano wa pamoja wa waandishi wa habari na Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, ambaye alisema wazo la Trump "linafaa kupewa kipaumbele". Ukanda wa Gaza umezungukwa na Israel, Misri na Bahari ya Mediterania. Tarehe 7 Oktoba 2023, Hamas ilishambulia Israeli na kuua watu wapatao 1,200 na kuchukua zaidi ya mateka 250. Hii ilisababisha mashambulizi ya kijeshi ya Israel ambapo zaidi ya watu 47,400 wameuawa, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas. #bbcswahili #marekani #trump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Trump: Marekani inaweza 'kuichukua' Gaza
- 16 Jul 2025 - Former Chief Justice David Maraga has revealed that he will rely on contributions from ordinary Kenyans from as little as Ksh.50 to fund his presidential bid.
- » No mattresses, no justice: Suspects refuse to appear in Machakos court over poor sleeping conditions16 Jul 2025 - The Kangundo Law Court in Machakos County was on Tuesday forced to adjourn and postpone the hearing of a kidnapping case involving four suspects after they refused to attend the session over poor sleeping conditions in the police cells.
- » ‘Police need training on human rights’: Maraga recounts being teargassed during Gen Z protest anniversary16 Jul 2025 - Former CJ David Maraga has criticised the police over what he described as excessive and unjustified use of force during the recent Gen Z protest anniversary march, saying officers require urgent training on human rights standards.
- 16 Jul 2025 - A higher education crisis is brewing and for thousands of students from low-income families, a university dream may turn into a nightmare.
- 16 Jul 2025 - Kenya Airways is set to regain its long-haul strength as it prepares to return three grounded Dreamliners to service.
- 16 Jul 2025 - Experts link protest violence to 2027 vote
- 16 Jul 2025 - Epra under fire over sharp rise in fuel prices
- 16 Jul 2025 - How police officers shot the son of senior cop
- 16 Jul 2025 - How ghost students and schools gobbled up Sh3.7b in capitation
- 16 Jul 2025 - Chief Justice Martha Koome has pushed back against external interference and attacks on judicial officers by the political class.