- 266 viewsTanzania: Mwanamke aliyefiwa na mumewe na anajukumu la ulezi wa watoto watatu na akiwa mjamzito anaeleza ukandamizaji unaoendelea dhidi ya wanawake katika jamii. Ni kama ilivyo kwa wanawake wengine wanaofikwa na janga la kudhulumiwa urithi hakuambulia chochote katika urithi wa mumewe. Anaeleza tuhuma anazoelekezewa mwanamke wakati anapotaka kufuatilia haki zake, na hivyo kumfanya asiweze kuchukua hatua yoyote. Ungana na mwandishi wetu wa Dar es Salaam Idd Uwesu akifanya mahojiano maalum na mwanamama huyu na kueleza yaliyomfika na mengi mengineyo.. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Tuhuma anazorushiwa mjane anapojaribu kudai urithi wa mumewe
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 19 Apr 2024 - Ageing air defences have left Iran vulnerable to an Israeli attack if Prime Minister Benjamin Netanyahu decides to ignore global pressure not to retaliate directly for the unprecedented drone and missile salvoes of Saturday night.
- 19 Apr 2024 - Land prices in Nairobi's suburbs rose by an average of 1.3 per cent per acre in the first quarter of 2024, defying the tough economy that depressed average income. HassConsult latest land price index shows average price per acre in the suburbs is now…
- 19 Apr 2024 - CS Miano says statutory requirements for National Automotive Policy being finalised.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes The late Chief of Defence Forces General Francis Ogolla hit the headlines after former Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) […]
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes The Chief of Defence Forces General Francis Omondi Ogolla and nine other military officers yesterday died in a military helicopter […]
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The National Security Council is among the government organs entrusted to help in making decisions about the appointment of a […]
- 19 Apr 2024 - Kenyans applying for passports will effective May 1, 2024 acquire the travel documents within 21 days of application, Interior Cabinet Secretary Prof. Kithure Kindiki has revealed.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Renowned Somali-British marathon runner Mo Farah who is the Global Goodwill Ambassador for the International Organization for Migration (IOM) will […]
- 19 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Three businessmen charged with conspiracy to defraud a cooperative society land valued at Sh3.4 billion has been freed after their […]
- 19 Apr 2024 - The official opening of the Ksh.9.6 billion Bunge Tower which was initially set for Friday has now been postponed to next week.