- 44 views
Aliyekuwa waziri Raphael Tuju anataka tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini kuwachunguza majaji 5 wa mahakama ya upeo kwa madai ya upendeleo katika kesi inayohusisha mzozo wa mali. Tuju amesema naibu jaji mkuu Philomena Mwilu na majaji Mohammed Ibrahim, Smokin Wanjala, Njoki Ndung’u na William Ouko walikuwa wamefanya uamuzi wao tayari walipojiondoa kutoka kesi hiyo na kudumisha uamuzi wa mahakama ya rufani uliodhinisha kunadiwa kwa hoteli yake kwa kushindwa kulipa deni la shilingi bilioni 4.5 alilodaiwa na Benki ya ustawi wa Afrika ya Mashariki. Hata hivyo, afisa mkuu mtendaji wa EACC Abdi Mohamud amesema tume hiyo bado haijapokea ombi la Tuju.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Tuju ataka majaji wa mahakama ya juu wachunguzwe
- 18 Apr 2025 - Two joint Somali-U.S. airstrikes killed 12 al Shabaab militants in central Somalia and destroyed a ship carrying weapons for the al Qaeda-linked group, the Somali government said on Thursday, following recent advances by the Islamists.
- 18 Apr 2025 - A still-convalescing Pope Francis said Thursday he was doing "as best I can" as he visited inmates at Rome's central jail before Easter.
- 18 Apr 2025 - Matiang'i has been engaged as an employee of the World Bank based in Washington DC.
- 18 Apr 2025 - In a region long plagued by service delivery delays and missed opportunities, a quiet but impactful shift is taking place, ushered in not with grand fanfare but through technology that now delivers national identity cards within just seven days. While…
- 18 Apr 2025 - Sudan has implored MPs to use their constitutional mandate to stop President William Ruto from interfering with its internal affairs. Sudan, while lamenting the hosting of the Rapid Support Forces (RSF), alleged that Kenya is set to invite the…
- 18 Apr 2025 - PS Oluga faces SHA challenges as he takes over office
- 18 Apr 2025 - Fund bleeding disease to save lives, government urged
- 18 Apr 2025 - Why Mediheal wants DW to pull down kidney story and apologise
- 18 Apr 2025 - Till death do us part: Man battles divorce, defends religious vows
- 18 Apr 2025 - State agency: Country suffocating under yoke of criminal gangs