Skip to main content
Skip to main content

Tume ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yatoa ksh. 800m katika ujenzi wa makao ya tume ya Ziwa Victoria

  • | Citizen TV
    134 views
    Duration: 1:38
    Miezi miwili baada ya rais William Ruto kuangazia umuhimu wa kufufua uchumi wa majini katika ziwa Viktoria, taifa limepigwa jeki baada ya kupokea ufadhili zaidi wa ujenzi wa makao ya tume ya ziwa Viktoria.