Skip to main content
Skip to main content

Tume ya kutetea haki za binadamu yapokea ripoti ya ajenda 10 na NADCO kwa ajili ya fidia kwa waaathi

  • | Citizen TV
    388 views
    Duration: 1:50
    Kamati ya utekelezwaji wa ajenda kumi na ripoti ya NADCO, imewaonya wanasiasa dhidi ya kuingilia zoezi la kuwafidia waathiriwa wa ukiukwaji wa haki za kibinadamu nchini. Kamati hiyo iliyowasilisha ripoti yake kwa tume ya kutetea haki za binadamu KNCHR amedhibitsha kuwa juhudi za kutekeleza zoezi hilo la fidia zimeshika kasi.