- 200 views
Tume ya mito ya Nairobi inapendekeza kuhamisha wakenya wanaoishi kwenye ardhi inayopakana na mito muhimu jijini Nairobi. Hii ikiwa katika juhudi za si tu kuokoa umma kutokana na majanga kama mafuriko bali pia kupunguza uchafuzi wa mazingira kwani tume hiyo imetaja maeneo haya ya mabanda kuwa miongoni mwa sababu kuu za uchafuzi wa mito. Haya yanajiri wakati serikali ya kaunti ya nairobi imezuia uchimbaji kwenye ardhi kando ya mito na kusitisha idhini zote za ujenzi kufuatia mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa jijini.
Tume ya mito yapendekeza kuhamisha wakenya wanaoishi kwenye ardhi inayopakana na mito jijini Nairobi
- - LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- - Kimbunga cha Hidaya ››
- 4 May 2024 - A shocking incident was on Saturday witnessed at Kabiro-ini village in Gichugu, Kirinyaga County, after a 29-year-old woman threw herself into River Nyamindi with her 5-year-old child strapped to her back.
- 4 May 2024 - A humanitarian volunteer has apologised to Kenyans after sharing a selfie of herself and a friend while conducting rescue efforts at a flood-hit settlement.
- » Rescue volunteer apologises for taking selfie in front of distressed flood victims in Red Cross jacket4 May 2024 - A humanitarian volunteer has apologised to Kenyans after sharing a selfie of herself and a friend while conducting rescue efforts at a flood-hit settlement.
- 4 May 2024 - The Nyamira County government has suspended 79 employees, who face allegations of using fake academic credentials to gain employment.
- 4 May 2024 - Kenya is seeking to leverage private sector partnerships to extend the SGR, to ensure seamless cross-border movement of goods across the East African Community.
- 4 May 2024 - A Nigerian man caught on tape assaulting a Kenyan woman confined to a wheelchair has been deported.
- 4 May 2024 - Government has set up 138 camps for flood victims with food and non-food essentials.
- 4 May 2024 - President William Ruto has conveyed his condolences to the United Arab Emirates (UAE) following the passing of Sheikh Tahnoon bin Mohammed Al Nahyan, Abu Dhabi Ruler’s Representative in Al Ain Region.
- 4 May 2024 - The matatu rammed into the trailer, wrecking the entire front part of the vehicle.
- 4 May 2024 - Kilifi Governor Gideon Mung’aro has threatened to dump containers preserving bodies of the Shakahola massacre victims at Kenyatta National Hospital if the government fails to act quickly and remove them.