- 200 views
Tume ya mito ya Nairobi inapendekeza kuhamisha wakenya wanaoishi kwenye ardhi inayopakana na mito muhimu jijini Nairobi. Hii ikiwa katika juhudi za si tu kuokoa umma kutokana na majanga kama mafuriko bali pia kupunguza uchafuzi wa mazingira kwani tume hiyo imetaja maeneo haya ya mabanda kuwa miongoni mwa sababu kuu za uchafuzi wa mito. Haya yanajiri wakati serikali ya kaunti ya nairobi imezuia uchimbaji kwenye ardhi kando ya mito na kusitisha idhini zote za ujenzi kufuatia mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa jijini.
Tume ya mito yapendekeza kuhamisha wakenya wanaoishi kwenye ardhi inayopakana na mito jijini Nairobi
- - Duniani Leo ››
- - Tribe47|| DJ Osama ››
- 28 Jun 2025 - In addition to providing a trove of information about the early universe, the James Webb Space Telescope since its 2021 launch has obtained valuable data on various already-known planets beyond our solar system, called exoplanets. Now, for the first…
- 28 Jun 2025 - Murkomen walked back his sentiments following a public backlash.
- 28 Jun 2025 - Imagine you leaving your house fully equipped to fight for justice and better governance. Thinking that the only thing you need to fear are bullets and teargas but get raped instead. By the people you are fighting with. Fellow comrades, fellow Kenyans.…
- 28 Jun 2025 - How one Kisumu student's gruelling daily trek to education became the foundation for breaking gender barriers in engineering
- 28 Jun 2025 - Kenya’s education system is undergoing a historic transformation with the implementation of the Competency-Based Curriculum (CBC), and one of its most visible shifts is the establishment of Junior Secondary School (JSS) for learners in Grades 7 to 9.…
- 28 Jun 2025 - There are showers, and then there is the everything shower, which is a full-blown ceremony of steam, suds, and self-love. It’s not just about getting clean; it’s about coming undone, shedding stress, scrubbing off the day, and emerging like a buttered…
- 28 Jun 2025 - Why principals want school fees reviewed after every three years
- 28 Jun 2025 - Court overturns CBK ban on union fees remission
- 28 Jun 2025 - Raila claims opposition reached out to him to unite against Ruto
- 28 Jun 2025 - Mr President, take responsibility of Wednesday's deaths, destruction