- 34 views
Tume ya kuratibu viwango vya mishahara na marupurupu ya watumishi wa umma-SRC inadai kuwa madaktari walihadaiwa na utawala uliopita kusaini mkataba wa maelewano ambao hautekelezeki. Mwenyekiti wa tume hiyo ya SRC, Lyn Mengich amesema ingawa matakwa ya madaktari ni halali, mkataba wa maelewano wa mwaka-2017 hauwezi kutekelezwa na hivyo madaktari wanapasa kurejelea mazungumzo ili kuafikiana kuhusu matakwa yao. Wito wa Mengich umejiri huku waziri wa utumishi wa umma, Moses Kuria akisema ananuia kuwianisha mikataba yote ya maelewano ya vyama vya wafanyikazi ili kuepusha kuvurugwa kwa huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Tume ya SRC yadai madaktari walihadaiwa kusaini mkataba wa maelewano usiowezakutekelezwa
- 3 Aug 2025 - In a man's world, she raised the headroom for women, lit the way
- 3 Aug 2025 - Harambee Stars start chase for Sh452.2 million prize money
- 3 Aug 2025 - Individuals and companies perceived to be critical of government are getting KRA calls. From accounts being closed to tax certificates being revoked taxman is on overdrive
- 3 Aug 2025 - A former prime minister of Mali was charged Friday with "undermining the credibility of the state" following a social media post about his visits to political prisoners, a Bamako prosecutor said.
- 2 Aug 2025 - A gang of over 15 people raided Mburi Coffee Factory in Gichugu Constituency, Kirinyaga County, tied two watchmen before escaping with bags of coffee of an unknown value.
- 2 Aug 2025 - Agriculture and horticulture have consistently topped Kenya’s export list over the last decade. According to the KNBS Economic Survey 2025, tea and coffee account for 25% and 5% of Kenya’s total exports, respectively. Our tea and coffee industries have…
- 2 Aug 2025 - JOBO stun Musingu Scorpions to lift maiden title as Butere retain girls football trophy
- 2 Aug 2025 - The mood was electric as supporters from across the region gathered to witness the start of one of the continents most anticipated football tournaments.
- 2 Aug 2025 - Countries that cling to fossil fuels are not protecting their economies, they are sabotaging them – undermining competitiveness, and missing the greatest economic opportunity of the 21st century.
- 2 Aug 2025 - The lawyer has been demanding payment for his legal services.