- 31,129 viewsDuration: 4:07:48Ripoti ya tume iliyoundwa na serikali kuchunguza matukio ya vurugu ya wakati na baada ya uchaguzi imewasilishwa kwa rais. Ni ripoti iliyokusanywa kwa miezi kadhaa chini ya Mwenyekiti Jaji Mohamed Chande, ambayo imewahoji maelfu ya watanzania, imetumia picha na video za wakati wa Oktoba 9 na siku zilizofua. Katika ripoti hii kuna mambo kasha ya kuyazingatia.