'Tunakufa kwa njaa na hakuna chakula au maji yaliyobakia Gaza, kuna njaa...'
Wapalestina walikimbilia kupata magunia ya unga Jumatatu (Februari 19) kutoka kituo cha kugawa chakula kinacho endeshwa na Umoja wa Mataifa katika mji ulioangamizwa wa Gaza.
“Tunakufa kwa njaa na hakuna chakula au maji yaliyobakia Gaza, kuna njaa,” alisema Abdullah Sawaf.
Shambulizi la anga na ardhini linalofanywa na Israel limeharibu sehemu kubwa ya Ukanda wa Gaza na kuwalazimisha karibu wakaazi wote kukimbia makazi yao.
Vita vilivyoanzishwa na shambulizi la Hamas huko Kusini mwa Israel Oktoba 7 ambapo watu 1,200 waliuawa na wengine 253 kutekwa, kulingana na Israel.
Ikiapa kuitokomeza Hamas, Israel imejibu mashambulizi hayo kwa mashambulizi ya anga na ardhini ambayo kwa mujibu wa hesabu za Gaza imeuwa zaidi ya Wapalestina 29,000 na kujeruhi zaidi ya watu 69,000. Vita hiyo imewakosesha makazi watu wa eneo hilo finyu milioni 2.3 na kuligeuza eneo kuwa kifusi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
30 Jun 2025
- The DCI boss addressed goons who resorted to violence and looting of property on June 25.
30 Jun 2025
- The extension is to allow more Kenyans to file their taxes.
30 Jun 2025
- Amin provided an update on investigations on Monday, June 30.
30 Jun 2025
- The activists, John Mulingwa Nzau, also known as Garang, Mark Amiani, alias Generali, and Francis Mutunge Mwangi, alias Chebukati, were apprehended on June 27 while traveling on a Randa Coach Services bus bound for Mombasa.
30 Jun 2025
- The Directorate of Criminal Investigations (DCI) says Ndiangui Kinyagia, the blogger and activist who went missing from his house in Kinoo, Kiambu County on June 22 is not in police custody.
30 Jun 2025
- His death was confirmed on Monday by family spokesperson Emily Wanjira, just a day after doctors at Kenyatta National Hospital (KNH) declared him brain dead.
30 Jun 2025
- His death was confirmed on Monday by family spokesperson Emily Wanjira, just a day after doctors at Kenyatta National Hospital (KNH) declared him brain dead.
30 Jun 2025
- Speaking to the media on Monday, Amin denied the reports, saying, "It is not true that we summoned Gachagua."
30 Jun 2025
- President William Ruto has called on United Nations members to support the outcome document of the Fourth International Conference on Financing for Development being held in Seville, Spain.
30 Jun 2025
- Deputy President Kithure Kindiki alongside the Speaker of the National Assembly Moses Wetangula hosted a delegation of Huawei Kenya officials led by the CEO Gao Fei as they sought to collaborate in Kenya’s push for technological advancement.
30 Jun 2025
- The wife of former Kenyan 3,000-metre world record holder Daniel Komen has told an Eldoret High Court how her husband sold their matrimonial property estimated to be worth over Ksh. 100 million to fellow athletes without her consent.
30 Jun 2025
- The agreement aims to foster long-term peace, and increased economic trade and security.
30 Jun 2025
- The DCI boss addressed goons who resorted to violence and looting of property on June 25.