'Tunakufa kwa njaa na hakuna chakula au maji yaliyobakia Gaza, kuna njaa...'
Wapalestina walikimbilia kupata magunia ya unga Jumatatu (Februari 19) kutoka kituo cha kugawa chakula kinacho endeshwa na Umoja wa Mataifa katika mji ulioangamizwa wa Gaza.
“Tunakufa kwa njaa na hakuna chakula au maji yaliyobakia Gaza, kuna njaa,” alisema Abdullah Sawaf.
Shambulizi la anga na ardhini linalofanywa na Israel limeharibu sehemu kubwa ya Ukanda wa Gaza na kuwalazimisha karibu wakaazi wote kukimbia makazi yao.
Vita vilivyoanzishwa na shambulizi la Hamas huko Kusini mwa Israel Oktoba 7 ambapo watu 1,200 waliuawa na wengine 253 kutekwa, kulingana na Israel.
Ikiapa kuitokomeza Hamas, Israel imejibu mashambulizi hayo kwa mashambulizi ya anga na ardhini ambayo kwa mujibu wa hesabu za Gaza imeuwa zaidi ya Wapalestina 29,000 na kujeruhi zaidi ya watu 69,000. Vita hiyo imewakosesha makazi watu wa eneo hilo finyu milioni 2.3 na kuligeuza eneo kuwa kifusi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
27 Jul 2024
- G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
27 Jul 2024
- Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
27 Jul 2024
- What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?
27 Jul 2024
- Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
27 Jul 2024
- The entities increased their spending by Sh591 million
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
27 Jul 2024
- Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction