- 5 views
Wizara ya elimu imehimizwa kushirikisha masomo ya kifedha kwenye mtaala wa shule za msingi kuhakikisha wanafunzi wanaelewa umuhimu wa kuwekeza na kufanya biashara kama njia ya kukabiliana na ufukara na changamoto za kiuchumi . Akizungumza mjini Busia wakati wa kongamanao la kila mwaka la chama cha walimu cha Bushirika kutoka kaunti ya Bungoma , Katibu wa wizara ya biashara ndogo na zile za kadiri Susan Mang'eni, alisema kuwa wakenya wengi hawana maarifa ya kutosha ya kifedha, hali inayoathiri ustawi wa nchi hii
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Uatawi wa jamii : Seririkali yahimizwa kuongeza masomo ya kifedha kwenye mtaala
- 21 Aug 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua has arrived in Kenya after his long tour in the United States.
- 21 Aug 2025 - In a Gazette Notice published Thursday, Senate Speaker Amason Jeffah Kingi announced that the sittings will run from Wednesday, August 27, to Friday, August 29, 2025, beginning at 9:00 a.m. each day at the Senate Chamber, Main Parliament Buildings in…
- 21 Aug 2025 - The Social Health Authority (SHA) says it has released Ksh.3.4 billion to health facilities across the country to settle claims under the Social Health Insurance Fund (SHIF).
- 21 Aug 2025 - The victims, identified as Meshack Ongulo and his wife Modesta Mwakali, both teachers in the area, are believed to have come into contact with a live electrical cable near their bathroom.
- 21 Aug 2025 - A man has been sentenced to 20 years in prison for shooting a Kenya Power staffer with an arrow while on official duty.
- 21 Aug 2025 - Uganda has agreed to receive migrants who do not qualify to remain in the United States, a foreign ministry official said Thursday, in Washington's latest attempt to speed up deportations.
- 21 Aug 2025 - The sittings will be starting on Wednesday August 27, from 9 am in the Senate Chambers.
- 21 Aug 2025 - Murkomen shed light on the ongoing transfers and disciplinary actions as he revealed plans to reassign some senior police officers.
- 21 Aug 2025 - Supporters of the Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua are expected to march from the
- 21 Aug 2025 - The companies were closed following a raid targeting unlicensed operators in the city.