Skip to main content
Skip to main content

Ubunifu na teknolojia mbalimbali za kuimarisha kilimo

  • | Citizen TV
    355 views
    Duration: 3:15
    Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Nairobi yaliyokamilika wiki iliyopita yalisheheni ubunifu na teknolojia mbalimbali za kuimarisha kilimo. Mojawapo ya ubunifu uliopata umaarufu ni Trekta yenye uwezo wa kuwapunguzia wakulima wadogo gharama ya uzalishaji. Teknolojia za kisasa za kilimo, Ng'ombe wa maziwa, na mbinu za kuhakikisha chakula salama, ni baadhi tu ya maonyesho ambayo pia yalitia fora.