- 104 viewsUchaguzi wa Jumanne unaadhimisha kuhitimisha kupiga kura kwa wapiga kura kujitokeza katika vituo vya kupiga kura nchini Marekani, katika uchaguzi wa katikati ya muhula wa Novemba 8, 2022. Wakati Wademokrat wakishikilia hivi sasa wingi katika bunge, lakini kama historia ni ishara, huenda chama cha Joe Biden kikapoteza darzeni ya viti. Endelea kusikiliza uchambuzi huu wa repoti maalum ya yale yanayotabiriwa kutokea katika uchaguzi huu... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Uchaguzi wa katikati ya muhula unafikia kilele leo Jumanne nchini Marekani
- - Duniani Leo ››
- 2 Jul 2025 - The Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret, Uasin Gishu County has made a ground-breaking achievement in healthcare by successfully performing Kenya’s first-ever renal artery bypass surgery.
- 2 Jul 2025 - Iran-linked hackers have threatened to disclose more emails stolen from U.S. President Donald Trump's circle, after distributing a prior batch to the media ahead of the 2024 U.S. election.
- 2 Jul 2025 - Turkish police arrested more than 120 people in the opposition stronghold of Izmir on Tuesday, hours before a key rally in Istanbul, in the latest move targeting President Recep Tayyip Erdogan's opponents.
- 2 Jul 2025 - The Palestinian health ministry said Israeli fire killed two people in the occupied West Bank on Tuesday, one of them a 15-year-old boy.
- 2 Jul 2025 - In the 21st century and what seemed genius in the 80s and 90s, will be blown out of the water and exposed for what it is.
- 2 Jul 2025 - The bill has been the subject of legal debates.
- 2 Jul 2025 - The body, which had visible injuries on the right hand near the wrist and the neck, was moved to Kerugoya Referral Hospital, waiting for a postmortem.
- 2 Jul 2025 - Matiang'i served as Interior CS.
- 2 Jul 2025 - The garden is a home to thousands of coloured-straw bats.
- 2 Jul 2025 - The school was established in 1975.