Skip to main content
Skip to main content

Uchunguzi wa mauaji: Kijana aliyeuwawa kitengela alipigwa risasi jicho

  • | Citizen TV
    1,953 views
    Duration: 1:40
    Imebainika kijana wa umri wa miaka ishirini na minane aliyeuwawa kwenye ghasia zilizochipuka wakati wa mkutano wa kisiasa huko Kitengela, Vincent Ayomo, alipigwa risasi kwenye jicho la kushoto