- 1,305 viewsMamlaka ya Uwanja wa Ndege Tanzania (TAA) imesema katika taarifa yake Jumanne uchunguzi wa kitaalam kuhusu chanzo cha ajali ya ndege ya Precision Air ambayo ilianguka Jumapili katika Ziwa Victoria unaendelea. Ndege hiyo ilitoa taarifa kuwa abiria 24 walinusurika kati ya 43 waliokuwa wakisafiri na ndege hiyo. Endelea kusikiliza repoti hiyo na maelezo mbalimbali kuhusu maelezo ya polisi na malalamiko ya wananchi... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Uchunguzi wa ndege iliyoanguka Tanzania unaendelea
- - Ziara ya Ruto London ››
- 3 Jul 2025 - With South Sudan's President Salva Kiir undergoing medical tests abroad after years of rumours about his health, analysts say a long-gestating plan has been set in motion to secure his succession.
- 3 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump will host leaders from five African nations in Washington next week to discuss "commercial opportunities," a White House official said on Wednesday.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday said the government has closed 1,000 hospitals for falsifying medical claims to the Social Health Authority (SHA).
- 3 Jul 2025 - Keter becomes the 24th Kenya Army commander
- 3 Jul 2025 - Eldoret High Court will on July 4, 2025, sentence self-confessed serial killer Evans Juma Wanjala who is linked to the killing of five minors Moi’sbridge, Uasin Gishu County.
- 3 Jul 2025 - The new house replaces a crumbling structure Albert had long hoped to replace.
- 3 Jul 2025 - “The criminal elements that are staining SHA will not succeed."
- 3 Jul 2025 - The numbers have been dropping over the last 20 years.
- 3 Jul 2025 - Ruku defended the Bill, arguing that the current legal framework—anchored in the Public Order Act of 1952—is outdated and undemocratic.
- 3 Jul 2025 - The women were provided with 100 chicks by conservation NGOs to start their project.