- 3,111 viewsDuration: 2:21Chama cha UDA kimetawala katika chaguzi ndogo ziliozofanyika Alhamisi, kwa kupata viti vyote vinne vilivyokuwa vikiwaniwa. Katibu mkuu wa chama hicho, Hassan Omar, amesema kuwa ushindi huo unaonyesha ubabe wa chama hicho mashinani na kueleza imani ya wapiga kura kwa Rais William Ruto