- 603 viewsMamlaka nchini Ufaransa imeongeza ulinzi mjini Paris kabla ya mechi kati ya Ufaransa-Israel siku ya Alhamisi, kwa matumaini ya kuepuka kurejewa kwa ghasia mbaya kati ya wenyeji na mashabiki wa soka wa Israeli kama zilizotokea Amsterdam wiki iliyopita. Mechi ya Nations League itakayochezwa katika uwanja wa Stade de France inafanyika wakati kuna hali ya wasi wasi, huku uhusiano wa kidiplomasia baina ya Rais Emmanuel Macron na Kiongozi wa Israeli Benjamin Netanyahu unayumba kutokana na vita vya Israel huko Gaza. Takriban maafisa polisi 4,000 watalilinda tukio hilo, polisi wamepelekwa uwanjani, nje ya uwanja na kwenye usafiri wa umma, polisi mjini Paris ilisema. Maafisa polisi kadhaa na magari tayari yameanza kufanya doria nje ya uwanja wa Stade de France siku ya Jumatano mchana, wakati timu hizo mbili zikiwa katika mazoezi. #ufaransa #paris #mechi #nationsleague #emmanuelmacron #benjaminnetanyahu #israeli #voa #voaswahili
Ufaransa yaimarisha ulinzi kuepusha ghasia zilizotokea Amsterdam
- 5 Aug 2025 - Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
- 5 Aug 2025 - Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
- 5 Aug 2025 - Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
- 5 Aug 2025 - The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
- 5 Aug 2025 - The meeting comes about a month after the Registrar of Political Parties reaffirmed Uhuru as the Party Leader.
- 5 Aug 2025 - Since his arrival in the USA, Gachagua has visited Boston, Massachusetts, Maryland and Seattle.
- 5 Aug 2025 - The pastor had been suspended over allegations of misconduct.
- 5 Aug 2025 - National Council for Population and Development warned that Kenya is not adequately prepared to support its ageing population
- 5 Aug 2025 - According to the CS, all schools will be affected.
- 5 Aug 2025 - This comes days after the application window for the September intake closed.