Uganda na Kenya zaungana kunadi utalii

  • | VOA Swahili
    287 views
    Mataifa ya Afrika mashariki yameanza kutekeleza sera ya kunadi utalii wao kwa pamoja kuvutia watalii zaidi. Kenya na Uganda sasa zinatekeleza sera hii itakayohakikisha wamefaidika kutokana na aina mbali mbali ya utalii katika mataifa hayo. Ripota wetu wa Mombasa Amina Chombo anatuelezea zaidi kuhusu mpango huu. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.