- 287 viewsMataifa ya Afrika mashariki yameanza kutekeleza sera ya kunadi utalii wao kwa pamoja kuvutia watalii zaidi. Kenya na Uganda sasa zinatekeleza sera hii itakayohakikisha wamefaidika kutokana na aina mbali mbali ya utalii katika mataifa hayo. Ripota wetu wa Mombasa Amina Chombo anatuelezea zaidi kuhusu mpango huu. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Uganda na Kenya zaungana kunadi utalii
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - Medicines have been one of the most difficult post-Brexit trade issues in Northern Ireland.
- 5 May 2024 - Opposition parties were hoping to gain seats in the April 29 vote to enable them to challenge the UNIR party.
- 5 May 2024 - Floods were sent to shut down our small police post
- 5 May 2024 - Villages in Mai Mahiu have borne the heaviest brunt of the deluge.
- 5 May 2024 - Friday negotiations ended on a sour note that saw a bitter press briefing by the government side.
- 5 May 2024 - Veteran journalist Dorothy Kweyu seeks assistance to raise Sh123.3m to secure her son's freedom.
- 5 May 2024 - CS Kindiki has banned fishing, swimming, non-essential transport and other beach activities at the coats.
- 5 May 2024 - Social media users are extremely sensitive to it. Misuse can cause anxiety and fear.
- 5 May 2024 - 'Right to Education' trips off the tongue, but what does it really mean?
- 5 May 2024 - Trump's supporters say policies for safeguarding people of colour should be repurposed to protect the rights of white people as well.