- 1,196 viewsDuration: 2:23Vituo vingi vya kuuza mafuta vimeendelea kusalia mahame kwa uhaba wa petroli na dizeli huku magari yakilazimika kutafuta vituo vichache vinavyouza mafuta. Madereva wakilalamikia mahangaiko ya kupata mafuta. Kutoka Nairobi hadi Mombasa na Nyeri, uhaba huu wa mafuta umeripotiwa.