Skip to main content
Skip to main content

Uhakiki wa DNA waanza kutambua miili ya wanafunzi walioteketea kwa mkasa wa moto shuleni Utumishi

  • | Citizen TV
    723 views
    Shughuli ya kuchukua sampuli za msimbojeni yaani DNA za kusaidia kutambua miili ya wanafunzi walioangamia katika mkasa wa moto katika shule ya wasichana ya Utumishi eneo la Giligil imeanzishwa hii Leo. Hata hivyo, baadhi ya wazazi wameghadhabishwa na mwendo wa kinyonga wa shughuli hiyo na ukosefu wa mpangilio mwafaka wa kuwapasha habari.