- 37 views
Uhamasisho zaidi kwa umma kuhusu bima ya afya ya jamii unahitajika ili kufanikisha utekelezaji wa mpango wa afya ya jamii. Mwenyekiti wa hazina ya kitaifa ya bima ya matibabu-NHIF mhandisi Michael aliyezungumza wakati wa hafla ya kutoa shukrani ya wafanyikazi wa chama cha KUDHEIHA katika kanisa la All saints alisema alisema Wakenya wote wako tayari kunufaika na mchango wa asilimia 2.75 ya mapato yao kwa hazina ya afya ya jamii. Wale ambao hawawezi kumudu michango hiyo watalipiwa na serikali. Wakenya wasio na ajira ambao awali walikuwa wakilipa shilingi 500 kwa hazina ya NHIF kila mwezi sasa watalipa shilingi-300 kulingana na uwezo wao wa kulipa pesa hizo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Uhamasisho zaidi kwa umma kuhusu bima ya afya ya jamii unahitajika ili kufanikisha utekelezaji
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| TV47 Matukio ››
- 2 May 2024 - President insists all Kenyans must pay their taxes and urges doctors to go back to work.
- 2 May 2024 - Everywhere there is gloom, and uncertainty about what happens next at Columbia University.
- 2 May 2024 - I am a co-creator in my own destiny
- 2 May 2024 - Sancho’s three goals in 16 appearances in his second spell at the club, on loan, is an improvement on the 12 in 82 he managed at Manchester United.
- 2 May 2024 - He will be in South Africa for the high-performance training and up-skilling programme for the next six months.
- 2 May 2024 - Keroka emerged overall winners in last year’s championships at Gusii Stadium, beating Mawego TTI to second place and Siaya to third place.
- 2 May 2024 - The women’s Olympic race slated for August 11, will cover a 42,195km loop linking Paris and Versailles.
- 2 May 2024 - Currently Kenya only hosts two tennis tournaments in a 52 week tennis calendar and Moss said the the World body was keen for Kenya to grow that number in the next three years.
- 2 May 2024 - Pushes to increase production capacity.
- 2 May 2024 - Mutua will be in the company of Diana Chebet, Joan Cherono, Jackline Nanjala, Rahab Wanjiru and Vanice Kerubo.