Uingereza yaeleza hatua ya suluhisho la Kuwepo Mataifa mawili
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Cameron aliwasili Jumatano katika ghala la polisi mpakani Bulgaria karibu na Uwanja wa Ndege wa Sofia, ambako polisi wa Bulgaria wanahifadhi maboti yaliokusudiwa kutumika katika uvukaji mpaka haramu kupitia lango la English Channel ambapo polisi wa Bulgaria waliyakamata kwa msaada wa Uingereza.
Akijibu swali kuhusu suluhisho la mataifa mawili huko Mashariki ya Kati alisema:
“Sawa kile ambacho siku zote tumesema ni kuwa tunaunga mkono suluhisho la kuundwa mataifa mawili. Tunataka kuwepo Israel iliyo salama, huku ikiwepo Palestina iliyokuwa salama. Hii ndiyo njia ya kuwapa matumaini na heshima na amani, upande wa Waisraeli na Wapalestina. Sasa bila shaka, iwapo utakuwa na suluhisho la mataifa mawili, katika hatua fulani, itabidi uitambue Palestina kuwa ni taifa.
Na kile nilichosema ni kuwa haihitajiki kusubiri mpaka mchakato huo ukamilike. Usianze katika hatua za mwanzoni kwa sababu Wapalestina wanahitajika kufanya mageuzi na mabadiliko, kwa uchache wake ni katika mamlaka za Palestina, lakini inaweza kuja kama ni sehemu ya mchakato huo. Nafikiri hiyo ndiyo njia iliyosawa.” - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #davidcameron #bulgaria
12 Aug 2025
- The Kenyan is expected in Nairobi on Sunday.
12 Aug 2025
- The bank will be created before the year ends.
12 Aug 2025
- The drivers were told to suspend their trip until further notice.
12 Aug 2025
- The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
12 Aug 2025
- The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
12 Aug 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
12 Aug 2025
- Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…
12 Aug 2025
- Dagoretti North MP Beatrice Elachi has called for more stringent and unpredictable checks on public servants’ wealth declarations, saying the current system is easily circumvented and ineffective in fighting corruption.
12 Aug 2025
- The Kenyan is expected in Nairobi on Sunday.
12 Aug 2025
- Man's lifeless body discovered in a police cell within hours of his arrest.
12 Aug 2025
- The bank will be created before the year ends.
12 Aug 2025
- The drivers were told to suspend their trip until further notice.
12 Aug 2025
- The High Court on Tuesday dismissed a petition challenging the appointment of PSC Vice Chairperson Mary Kimonye and commissioners Boya Molu, Irene Asienga, and Francis Meja.