- 32 views
Kaunti ndogo tatu zitabuniwa katika kaunti ta Turkana kuimarisha juhudi za kukabiliana na tatizo la kudorora kwa usalama eneo hilo. Waziri wa usalama wa taifa Kithure Kindiki ameyasema hayo alipozuru eneo la Lokori kwenye eneo bunge la Turkana mashariki. Kindiki amesema serikali itabuni Kaunti ndogo za Lokiriama , Aroo na Siguta ili kuimarisha usalama. Kindiki pia ametangaza kwamba serikali itatumia shilingi milioni 100 kujenga shule zilizoharibiwa na majangili eneo hilo. Idadi ya maafisa wa polisi wa ziada na kitengo cha kuzuia wizi wa mifugo pia itaongezwa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #darubini
Ujangili North Rift I Kaunti ndogo tatu kubuniwa katika kaunti ta Turkana
- - LIVE|| News Now ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE|| News Now ››
- 4 Oct 2023 - At least 29 Niger soldiers were killed in an ambush by insurgents near the country's border with Mali, the defence ministry said, the deadliest attack since the military seized power in a coup in July.
- 4 Oct 2023 - Former Embakasi MP, late Muhuri Muchiri, approached workers to bring in directors to make the 5,005-acre parcel profitable
- 4 Oct 2023 - The two sides hit at each over the 2022 presidential results that saw Ruto declared winner with 200,000 votes
- 4 Oct 2023 - The party will elect county, constituency and ward congress officials
- 4 Oct 2023 - Committee chairperson is seeking to give residents more time to familiarise themselves with the proposed law and give their opinion
- 4 Oct 2023 - Lawmaker, who was heaping praise on Cabinet Secretary for job well done, was forced to cut short his remarks.
- 4 Oct 2023 - Tough new rules drawn by President Ruto's administration meant to curb money laundering and terrorism financing.
- 4 Oct 2023 - The loopholes exploited by the corrupt are hardly sealed due to vested interests.
- 4 Oct 2023 - Government should strive to translate it into local languages, especially pastoral languages such as Somali.
- 4 Oct 2023 - •Some jobs, and some companies, will not benefit from hybrid working •Staff who must come to the workplace should find a stimulating culture