2 Mar 2026 1:06 pm | Citizen TV 6,855 views Duration: 1:06 Rais William Ruto ametuma ujumbe kuwa Kenya inalaani vikali mashambulio dhidi ya UAE, Qatar, Saudi Arabia, Iraq, Oman, Kuwait, Jordan na Bahrain katika mzozo unaozidi kuongezeka katika Mashariki ya Kati.