- 278 viewsWakiwa wamelazimika kukimbia makazi yao, kutokana na vita kati ya Israel na Hamas, Israa al-Jumalah na familia yake wamekuwa wanaishi katika mahema ya muda katika viwanja vya hospitali ya Shuhada al-Aqsa huko mji wa Deir al-Balah. Familia inahangaika kutafuta maziwa na mavazi ya mtoto wao, ikimlazimu mama yake kumlaza mwanawe aliyepewa jina la Israa kulala katika godoro sakafuni kwenye makazi yaliyotengenezwa kwa mbao. Israa anaeleza kuwa: “Tunakabiliwa na hali ngumu sana, tunaishi katika hema tukikosa mahitaji muhimu, na kwenye baridi, wakati wa baridi, hali ya hewa iliyopo hivi sasa, binti yangu anahitaji vitu vingi – maziwa, diapers, kwa kuwa mama yake, maziwa yangu hayatoshi kumnyonyesha, kama mtoto anahitaji vitu venye virutubisho, maziwa ya kumfanya akuwe.” - Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #hospitali #Nasser #wagonjwa #madawa
Ukanda wa Gaza: Familia ya Kipalestina inaeleza dhiki inayowakabili wakiwa na mtoto mchanga
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
- 18 May 2024 - Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
- 18 May 2024 - The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans
- 18 May 2024 - The Catholic church has changed its rules on judging miracles as it seeks to avert scandals. The rules come into effect on Sunday, May 19.
- 18 May 2024 - Sports fans will find a lot of interesting things on the bookmaker's platform
- 18 May 2024 - Audit exposes rot in stalled Sh23m Siaya bus park project