Ukanda wa Gaza: Mapigano makali kati ya Israel na Hamas yaikumba miji mikubwa
Mapigano makali yameendelea hivi leo Alhamisi katika miji mikubwa huko Ukanda wa Gaza wakati majeshi ya Israel na wanamgambo wa Hamas wanapambana na raia wa Palestina wakitafuta makazi salama yaliyopo ili kujiepusha na vita.
Mapambano yalitokea huko Gaza City, sehemu za kaskazini ambako Israel imelilenga tangu kampeni yake ya awali ya kulitokomeza kundi la Hamas, pamoja na huko Khan Younis kusini mwa Gaza, sehemu ambayo imepanuliwa katika vita.
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amesema majeshi ya Israel wanakaribia eneo la ambalo Mkuu wa Hamas huko Gaza, Yahya Sinwar yuko na kwamba ni suala la muda mpaka wampate.
Mapigano yamewasukuma raia mbali zaidi upande wa Kusini, na kuvuruga operesheni za kibinadamu za Umoja wa Mataifa na kuchochea kurejewa kwa maonyo ya kuongezeka kwa hali mbaya.
Umoja wa Mataifa umesema maelfu ya watu wamewasili katika siku za karibuni huko Rafah, eneo ambalo liko karibu na mpaka wa kusini mwa Gaza. Rafah ni eneo pekee huko Gaza ambalo limepokea misaada michache ya kibinadamu wiki hii kutokana na kusambaa kwa ghasia upande wa kaskazini, UN imesema.
Wakazi na waandishi wa habari wameripoti mashambulizi kadhaa ya anga ya Israel huko Rafah usiku kucha, huko wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas ikiripoti vifo 37. - VOA News
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #hospitali #Nasser #wagonjwa #madawa
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
18 May 2024
- Details of the investigations on the accused individuals were published in Kenya Gazette.
18 May 2024
- The eight guidelines were issued a week after the reopening of schools.
18 May 2024
- COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
18 May 2024
- Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
18 May 2024
- President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
18 May 2024
- The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
18 May 2024
- The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
18 May 2024
- Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
18 May 2024
- EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
18 May 2024
- Ichung’wah claims statements made at the event were aimed at scuttling President Ruto's development progress.
18 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Third Way Alliance party leader Ekuru Aukot has said the security mission deployed to Haiti by Kenya is invalid. Kenya […]