24 Feb 2026 7:50 pm | Citizen TV 1,501 views Duration: 1:23 Mtoto mmoja mwenye umri wa miezi tisa anauguza majeraha mabaya katika hospitali ya rufaa ya Busia baada ya kubakwa katika kijiji cha Khuyala, eneo bunge la Matayos kaunti ya Busia.