- 482 viewsJeshi la Israel limesambaza kanda ya video Alhamisi ikionyesha majeshi yakifanya mashambulizi huko Ukingo wa Magharibi. Katika taarifa yake jeshi lilisema vikosi vyake “vimefanikiwa kutegua vilipuzi kadhaa ambavyo vilikuwa vimechimbiwa barabarani lengo likiwa vitumike kushambulia majeshi yake. Majeshi ya Israeli yamefanya mashambulizi makali na ya kiwango kikubwa Ukingo wa Magharibu.usiku kucha siku ya Jumanne. Israel inasema mashambulizi hayo yaliyofanyika wakati mmoja kote eneo la kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi – ambayo yamewauwa jumla ya watu 16, karibuni wote wanamgambo, tangu jioni Jumanne – yamelenga kuzuia mashambulizi dhidi ya jeshi hilo. Israel imekuwa ikitekeleza kile imekitaja kama operesheni ya kijeshi karibu kila siku katika Ukingo wa Magharibi, tangu Oktoba 7, wanamgambo wa Hamas walipofanya shambulizi kutokea Gaza na kusababisha vita vikali vinavyoendelea. Israel imesema kwamba operesheni yake ya kijeshi ina lengo la kuwamaliza nguvu wanamgambo wa Hamas na kuzuia mashambulizi dhidi ya raia wake. -AP na Reuters #gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina
Ukingo wa Magharibi
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
- 6 Aug 2025 - Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
- 6 Aug 2025 - A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
- 6 Aug 2025 - A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
- 6 Aug 2025 - Audit exposes Sh9.4b hole in e-Citizen, shows millions paid in illegal charges
- 6 Aug 2025 - Six Kenyans sue polls agency for blocking petitions to recall MPs
- 6 Aug 2025 - Raila's sudden opposition to NG-CDF after 20 years silence
- 6 Aug 2025 - The building collapse that sparked Tanzania's jobs ban
- 6 Aug 2025 - How firm's bid to turn waste into cash is paying off