- 198 viewsDuration: 2:12Huku ulimwengu ukiendelea kukumbatia teknolojia na ubunifu ili kukabiliana na changamoto zinazoibuka katika jamii, ukosefu wa ufadhili wa kutosha umesalia kikwazo kikubwa zaidi kinachozuia utafiti na ubunifu huo kuingia kwa jamii.